Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

LOWASSA APATA MAPOKEZI YA KIHISTORIA DODOMA

Mh Edward Lowassa akiongozana na waheshimiwa wengine waliomsindikiza katika ziara yake ya kampeni mkoani Dodoma

Chopa iliyombeba Mh Edward Lowassa ikitua uwanjani

Mh Edward Lowassa akishuka kutoka katika Chopa

Kina mama wakiimba kwa hisia kali

Mh Frederick Sumaye akiongea jambo fulani na Mh Edward Lowassa

Mh Edward Lowassa akihutubia wakazi wa Dodoma

Mh Frederick Sumaye akimwaga sera

Mh Frederick Sumaye na Mh Tundu Lissu wakiongea jambo fulani katika mkutano mkubwa mjini Dodoma

 

ZIARA NYINGINE YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA MKOANI DODOMA

Picha kwa Hisani ya Othman Michuzi

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO