Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA BUNGE HAYA HAPA

Mhe. David Kafulila akimpongeza Mhe. James Lembeli mara baada ya kupita bila kupingwa kwa nafasi ya uenyekiti wa kamati ya Ardhi  Maliasili na Mazingira 

Mgombea nafasi ya Uwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Zitto Kabwe akinadi sera zake mbele ya wajumbe wa kamati hiyo kabla ya kufanyika kwa uchaguzi jana

Msimamizi wa Uchaguzi katika kamati ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa kimataifa Bi. Justina Shauri akiwapa maelezo ya awali wajumbe wa kamati hiyo kabla ya kuchagua viongozi wao. Msimamizi wa Uchaguzi katika kamati ya Ulinzi na Usalama Ndg. Peter Magati akiwapa maelezo ya awali wajumbe wa kamati hiyo kabla ya kuchagua viongozi wao.

Mgombea wa Nafasi ya Uenyekiti katika kamati ya LAAC Mchungaji Israel Natse nae akinadi sera zake

  Wajumbe wa Kamati ya PAC wakiteta na Mhe. John Cheyo anaye tetea kiti chake cha uenyekiti wa kamati

Katibu wa Kamati ya PAC Bi. Lina Kitosi ambaye pia ndiye msimamizi wa uchaguzi akiwaonesha wajumbe wa kamati hiyo karatasi maalum ya kupigia kula kabla ya uchaguzi kufanyika

Katibu wa Bunge Ndg. John Joel akitangaza Matokeo ya wenyeviti na Makamu wa Wenyeviti mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa viongozi hao katika kamati zote za Bunge jana Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa kamati za Bunge Ndg. Theonist Luhirabake na kulia ni Afisa Habari wa Bunge Ndg. Owen Mwandumbya-

--
KAMATI YA KANUNI ZA BUNGE

_____________________
1 Mhe. Anne Semamba Makinda, MB (Spika)
2)Mhe. Job Yustino Ndugai, MB (N/Spika)
3)Mhe. Tundu Antiphas Mughway Lissu, Mb
4)Mhe. Andrew John Chenge, Mb
5) Mhe. Musa Azzan Zungu,Mb
6 Mhe. Dkt.Titus Mtengeya Kamani, Mb
7 Mhe. Jenista Joakim Mhagama, Mb
8 Mhe. William Mganga Ngeleja, Mb.
9 Mhe. Amina Abdallah Amour, Mb
10 Mhe. James Francis Mbatia, Mb
11 Mhe. Hamad Rashid Mohammed, Mb
12 Mhe. Jasson Samson Rweikiza, Mb
13 Mhe. Philapa Godifrey Mturano, Mb
14 Mhe. Anna Margareth Abdallah,Mb
15 Mhe. Christopher Ole-Sendeka, Mb
KAMATI YA HAKI, MAADILI NA MADARAKA YA BUNGE

_____________________
1.Mhe. Augustino Lyatonga Mrema, Mb
2.Mhe. Riziki Omar Juma, Mb
3.Mhe. Assumpter Nshunju Mshama, Mb
4.Mhe. Brig. Gen. Hassan Athuman Ngwilizi, Mb
5.Mhe. Agripina Zaituni Buyogera, Mb
6.Mhe. Said Juma Nkumba, Mb
7.Mhe. John Paul Lwanji, Mb
8. Mhe. Mch. Israel Yohana Natse, Mb
9.Mhe. Capt. John Zefania Chiligati, Mb
10.Mhe. Betty Eliezer Machangu, Mb
11.Mhe. Said Amour Arfi, Mb
12.Mhe. Gosbert Begumisa Blandes, Mb
13.Mhe. Augostino Manyanda Masele, Mb
14.Mhe. Dkt. Lucy Sawere Nkya, Mb
15.Mhe. Rashid Ali Abdallah, Mb
KAMATI YA MASUALA YA UKIMWI
______________________
1 Mhe. Said Suleiman Said,Mb
2 Mhe.Ahmed Ali Salum,Mb
3 Mhe. Maida Hamad Abdallah,Mb
4 Mhe.Lediana Mafuru Mung’ong’o ,Mb
5 Mhe. Maria Ibeshi Hewa, Mb
6 Mhe. Chiku Aflah Abwao, Mb
7 Mhe.Omary Ahmad Badwel, Mb
8 Mhe. Mbarouk Salim Ali, Mb
9 Mhe. Rashid Ali Omar, Mb
10 Mhe. Lameck Okambo Airo, Mb
11Mhe. Lucy Thomas Mayenga, Mb
12 Mhe. AnaMaryStella John Mallac, Mb
13 Mhe. Mch. Luckson Ndaga Mwanjale, Mb
14 Mhe. Mwanamrisho Taratibu Abama, Mb
15 Mhe.Diana Mkumbo Chilolo, Mb
16Mhe. Ignus Aloyce Malocha, Mb
17 Mhe. Saidi Ally Selemani Bungara, Mb
18 Mhe. Iddi Mohamed Azzan, Mb
19Mhe. Neema Mgaya Hamid Mb
20 Mhe. Sara Msafiri Ally, Mb
21 Mhe. Dkt. Engelbert Faustine Ndugulile, Mb
22Mhe. Maulidah Anna Valerian Komu Mb
KAMATI YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

__________________
1 Mhe. Edward Ngoyai Lowassa, Mb
2 Mhe. Anastazia James Wambura, Mb
3 Mhe.John Magale Shibuda, Mb
4 Mhe. Khalifa Suleiman Khalifa, Mb
5 Mhe. Muhammad Ibrahimu Sanya, Mb
6 Mhe. Leticia Mageni Nyerere, Mb
7 Mhe.Thuwayba Idrisa Muhamed, Mb
8 Mhe. Susan Anselm Jerome Lymo, Mb
9 Mhe.Faith Mohamed Mitambo,Mb
10 Mhe.Juma Selemani Nkamia, Mb
11 Mhe. Betty Eliezer Machangu, Mb
12 Mhe. Selemani Saidi Jafo,Mb
13 Mhe. Mussa Azzan Zungu,Mb
14 Mhe.Salim Hemed Khamis,Mb
15 Mhe. Eng. Yussuf Hamad Masauni,Mb
KAMATI YA BAJETI
____________________ 

1Mhe. Andrew John Chenge, Mb
2Mhe. Christine Mughway Lissu,Mb.
3Mhe. Kidawa Hamid Saleh,Mb
4Mhe. Mansoor Shaniff Hiran, Mb
5Mhe. Saada Mukya Salum, Mb
6Mhe. Amina Abdallah Amour, Mb
7 Mhe. Joseph Roman Selasini, Mb
8Mhe. Josephat Sinkamba Kandege,Mb
9Mhe. Dkt. Cyril August Chami,Mb
10Mhe. Dkt. Bulugu FetusLimbu,Mb
11Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba, Mb
12Mhe. Assumpter N. Mshama,Mb
13Mhe.James Francis Mbatia, Mb
14Mhe. Beatrice Matumbo Shellukindo, Mb1
5 Mhe. Hamad Rashid Mohamed, Mb
KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA
______________________________
1 Mhe . Abas Zuberi Mtemvu, Mb
2 Mhe. Tundu Antiphas Mughway Lissu, Mb
3 Mhe. Gosbert Bagumisa Blandes
4 Mhe. Pindi Hazara Chana,Mb
5 Mhe. Nimrod Elirehema Mkono,Mb
6 Mhe. Felix Francis Mkosamali,Mb
7 Mhe. Nyambari Chacha Mariba Nyangwine, Mb
8 Mhe. Fakharia Khamis Shomari, Mb
9 Mhe. Rukia Kassim Ahmed, Mb
10 Mhe. Jaku Hashim Ayoub, Mb
11 Mhe. Mustapha Boay Akunaay, Mb
12 Mhe. Ramadhan Haji Saleh, Mb
13 Mhe. Jasson Samson Rweikiza, Mb
14 Mhe. William Mganga Ngeleja,Mb
15 Mhe. Deogratias Aloyce Ntukamazina , Mb
16 Mhe. Ali Khamis Seif, Mb
17 Mhe. Mariam Reuben Kasembe, Mb
18 Mhe. Abdallah Sharia Ameir, Mb
19 Mhe. Halima James Mdee, Mb
KAMATI YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA

1 Mhe. Mahmoud Hassan Mgimwa,Mb
2 Mhe. Eng. Habib Juma Mnyaa, Mb
3 Mhe. Margaret Agness Mkanga,Mb
4 Mhe. Haji Khatib Kai,Mb
5 Mhe.Ester Lukago Minza Midimu,Mb
6 Mhe. Hassein Nassor Amar,Mb
7 Mhe. Ahmed Juma Ngwali, Mb
8 Mhe. Luhaga Joelson Mpina Mb
9 Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani, Mb
10 Mhe. Joyce John Mukya, Mb1
1 Mhe. David Zakaria Kafulila, Mb
12 Mhe. Shawana Bukhet Hassan,Mb
13 Mhe. Said Mussa Zubeir, Mb
14 Mhe. Vicky Pascal Kamata, Mb
15 Mhe. Naomi Ami Mwakyoma Kaihula,Mb
16 Mhe.Khatibu Said Haji,Mb
17 Mhe. Freeman Aikael Mbowe, Mb
19 Mhe.Amina Mohamed Mwidau,Mb
20 Mhe. Josephine Jonson Genzabuke, Mb
21 Mhe. Dunstun Luka Kitandula,Mb
22 Mhe. Mohamed Hamis Misanga, Mb
KAMATI YA ULINZI NA USALAMA
____________________
1 Mhe. Brig.Gen. Hassan Athumani Ngwilizi,Mb
2 Mhe. Anna Margreth Abdallah,Mb
3 Mhe. Dkt. Muhamed Seif Khatib, Mb
4 Mhe. Capt. John Zefania Chiligati, Mb
5 Mhe. Augustino Manyanda Masele, Mb
6 Mhe. Masoud Abdallah Salim, Mb
7 Mhe. Mussa Hassan Mussa, Mb
8 Mhe. Omar Rashid Nundu,Mb
9 Mhe. Eng. Stella Martin Manyanya, Mb
10 Mhe. Cynthia Hilda Ngoye, Mb
11 Mhe. Henry Daffa Shekiffu, Mb
12 Mhe.Vita Rashid Mfaume Kawawa, Mb
13 Mhe. David Mciwa Mallole,Mb14 Mhe. Hamad Ali Hamad, Mb
15 Mhe. Rachel Mashishanga Robert, M
b16 Mhe. Dkt. Augustino Lyatonga Mrema, Mb
17 Mhe. Vincent Josephat Nyerere, Mb
KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII

________________________
1 Mhe.Fatuma Abdallah Mikidadi, Mb
2 Mhe. Ritta Louise Mlaki, Mb
3 Mhe. Riziki Omari Juma, Mb
4 Mhe. Salome Daudi Mwambu, Mb
5 Mhe. Ali Juma Haji, Mb
6 Mhe. Faki Haji Makame, Mb
7 Mhe. Margareth Simwanza Sitta, Mb
8 Mhe. Ezekia Dibogo Wenje, Mb
9 Mhe. Agripina Zaituni Buyogera, Mb
10 Mhe. Juma Sururu Juma, Mb
11 Mhe. Mch. Dkt. Getrude Pangalile Rwakatare, Mb
12 Mhe. Abia Muhama Nyabakari, Mb
13 Mhe. Zabein Mhaji Mhita,Mb
14 Mhe. Mohamed Gulam Dewji, Mb
15 Mhe. Dkt. Anton Gervas Mbasa, Mb
16 Mhe. Steven Hilari Ngonyani,Mb
17 Mhe. Martha Jachi Umbulla, Mb
18 Mhe. Prof. Kulikoyela Kanalwanda Kahigi, Mb
19 Mhe. Asnain Muhamed Murji, Mb
20 Mhe. Cecilia Daniel Paresso, Mb
21 Mhe. Abdulaziz Muhamed Aboud, Mb
KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII

________________________
1 Mhe. John Damiano Komba, Mb
2 Mhe. Moza Abedi Saidy,Mb
3 Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi, Mb
4 Mhe. Mohamed Said Mohammed, Mb
5 Mhe. Nasib Suleiman Omar, Mb
6 Mhe. Mustafa Haidi Mkulo,Mb
7 Mhe. Jenista Joakim Mhagama, Mb
8 Mhe. Salum Halfan Barwany,Mb
9 Mhe. Kiumbwa Makame Mbaraka
10 Mhe. Salvatory Naluyaga Machemuli,Mb
11 Mhe. Livingstone Joseph Lusinde, Mb
12 Mhe. Saidi Mohamed Mtanda,Mb
13 Mhe. Agness Elias Hokororo, Mb
14 Mhe. Godbless Jonathan Lema, Mb
15 Mhe.Mary Pius Chatanda, Mb
16 Mhe.Juma Othman Ali, Mb
17 Mhe. Jaddy Simai Jaddy, Mb
18 Mhe. Dkt. Maua Abeid Daftar, Mb
19 Mhe. Albert Obama, Ntabaliba, Mb
20 Mhe.Rose Kamili Sukum, Mb
21 Mhe.Rosemary Kasimbi Kirigini, Mb
KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI

______________________________ ___
1.Mhe. Prof. David Homeli Mwakyusa, Mb
2.Mhe. Dkt. Christine Gabriel Ishengoma, Mb
3.Mhe. Asaa Othman Hamad, Mb
4.Mhe. Abdulsalaam Selemani Ameir, Mb
5.Mhe. Said Juma Nkumba, Mb
6.Mhe. Abdllah Haji Ali, Mb
7.Mhe. Haji Juma Sereweji,Mb
8.Mhe. Lolensia Masele Bukwimba, Mb
9.Mhe. Mch. Peter Simon Misigwa, Mb
10.Mhe. Prof. Peter Mahmudu Msolla, Mb
11.Mhe. Nameloki Edward Moringe Sokoine, Mb
12.Mhe. Dkt. Lucy Sawere Nkya, Mb
13.Mhe. Sylvestry Francis Koka, Mb
14.Mhe. Kheri Khatib Ameir, Mb
15.Mhe.Meshack Jeremia Opulukwa,Mb
16.Mhe. Philemon Kiwelu Ndesamburo, Mb
17.Mhe. Jitu Vrajlal Soni, Mb
18.Mhe. Sadifa Juma Khamis, Mb
19.Mhe.Donald Kelvin Max, Mb
20.Mhe. Moshi Selemani Kakoso, Mb
21.Mhe. Subira Khamis Mgalu, Mb
22.Mhe.Magdalena Hamisi Sakaya, Mb
KAMATI YA MIUNDOMBINU

_____________________
1 Mhe. Peter Joseph Serukamba, Mb
2 Mhe. Maryam Salum Msabaha, Mb
3 Mhe. Clara Diana Mwatuka, Mb
4 Mhe. Zamda Shamte Madabida, Mb
5 Mhe. Innocent Edward Kalogeris, Mb
6 Mhe. Hussein Mussa Mzee, Mb
7 Mhe. Aliko Nikusuma Kibona, Mb
8 Mhe. Said Ramadhani Bwanamdogo, Mb
9 Mhe. Zahra Ali Hamad, Mb
10 Mhe. Ahmed Mabkhut Shabiby,Mb
11 Mhe. Dkt. Pudenciana Wilfred Kikwembe, Mb
12 Mhe.Mussa Haji Kombo, Mb
13 Mhe. Prof. Juma Athuman Kapuya, Mb
14 Mhe. Mtutura Abdallah Mtutura, Mb
15 Mhe. Abdul Rajab Mteketa, Mb
16 Mhe. Suleiman Masoud Nchambi, Mb
17 Mhe. Saidi Amour Arfi, Mb
18 Mhe. Eng. Ramo Matala Makani, Mb
19 Mhe. Rebecca Michael Mngodo, Mb
20 Mhe. Elizabeth Nkunda Batenga, Mb
KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI

___________________
1 Mhe. Deusiderius John Mipata, Mb
2 Mhe. Deo Haule Filikunjombe, Mb
3 Mhe. Asha Mshimba Jecha, Mb
4 Mhe. Lucy Philemon Owenya, Mb
5 Mhe.Ester Nicholas Matiko, Mb
6 Mhe. John Momose Cheyo, Mb
7 Mhe. Kabwe Zitto Zuberi, Mb
8 Mhe.Zainab Matitu Vulu, Mb
9 Mhe. Ally Keissy Mohamed, Mb
10 Mhe. Zainab Rashid Kawawa, Mb
11 Mhe. Kheri Ali Khamis, Mb
12 Mhe. Faida Mohamed Bakari, Mb
13 Mhe. Ismael Aden Rage,Mb
14 Mhe.Modestus Dickon Kilufi, Mb
15 Mhe. Abdul Jabir Marombwa, Mb
16 Mhe.Gaudence Casssian Kayombo, Mb
17 Mhe. Kombo Khamis Kombo, Mb
18 Mhe. Catherine Valentine Magige, Mb
KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA

______________________________ _________
1 Mhe. Tauhida Cassian Galosi Nyimbo, Mb
2 Mhe. Dunstan Daniel Mkapa, Mb
3 Mhe. Azza Hillal Hamad, Mb
4 Mhe. Yahya Kassim Issa, Mb
5 Mhe. Menrad Lutengano Kigola,Mb
6 Mhe. Bahati Ali Abeid, Mb
7 Mhe. Kulthum Jumanne Mchuchuli, Mb
8 Mhe. Rajab Mbarouk Mohammed,Mb
9 Mhe. Yusuph Abdallah Nassir, Mb
10 Mhe. Philipa Geofrey Mturano, Mb
11 Mhe. Eustas Osler Katagira, Mb
12 Mhe. Muhonga Said Ruhwanywa, Mb
13 Mhe. Munde Tambwe Abdallah, Mb
14 Mhe. Ezekiel Magolyo Maige,Mb
15 Mhe. Mch. Israel Yohana Natse, Mb
16 Mhe. Alfaxard Kange Lugola, Mb
17 Mhe. Felista Aloyce Bura, Mb
18 Mhe.Suleiman Jumanne Zedi, Mb
KAMATI YA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

_________________________
1 Mhe. John Paul Lwanji,Mb
2 Mhe. Hamis Andrea Kigwangalla,Mb
3Mhe.Godfrey Weston Zambi, Mb
4 Mhe. Highness Samson Kiwia, Mb
5 Mhe. Benardetha Kasabago Mushashu, Mb
6 Mhe. Asha Mohamed Omari, Mb
7 Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe, Mb
8 Mhe. Rosweeter Faustine Kasikila, Mb

9 Mhe. Christopher Olonyokie Ole-Sendeka, Mb
10 Mhe. Eugen Elishininga Mwaiposa, Mb
11 Mhe. Rashid Ali Abdallah, Mb
12 Mhe. Eng. Athuman Rashid Mfutakamba, Mb
  13 Mhe.Pauline Gekul,Mb
  14 Mhe. Sabreena Hamza Sungura,Mb
  15 Mhe. Mkiwa Adam Kimwanga, Mb
  16 Mhe.Mariam Salum Mfaki, Mb
17 Mhe. Moses Joseph Machali, Mb
18 Mhe. Sylvester Masele Mabumba,Mb
  KAMATI YA NISHATI NA MADINI

__________________________
  1 Mhe. Victor Kilasile Mwambalaswa, Mb
2 Mhe. Saleh Ahmed Pamba, Mb
3 Mhe. Josephine Tabitha Chagulla Mb
  4 Mhe. David Ernest Silinde, Mb
  5 Mhe. Martha Moses Mlata, Mb
  6 Mhe. Devotha Mkuwa Likokola, Mb
>7 Mhe. Raya Ibrahim Khamis, Mb
  8 Mhe. Mariam Nassor Kisangi, Mb
  9 Mhe.Murtaza Ally Mangungu, Mb
  10 Mhe. Juma Abdallah Njwayo, Mb
  11 Mhe. Jerome Dismas Bwanausi, Mb
  12 Mhe. Richard Mganga Ndassa Mb
13 Mhe. Anne Kilango Malecela , Mb
  14 Mhe. Charles John Paul Mwijage, Mb
  15 Mhe. Herbert James Mntangi, Mb
  16 Mhe. Shaffin Ahmedali Sumar, Mb
  17 Mhe. Yussuf Haji Khamis, Mb
  18 Mhe. Riziki Saidi Lulida, Mb
KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA ______________________________ ___

1. Mhe. James Daud Lembeli, Mb
  2. Mhe. Abdulkarim Esmail Hassan Shah, Mb
  3. Mhe. Sylvester Mhoja Kasulumbayi,Mb
  4. Mhe. Zakia Hamdani Meghji,Mb
  5. Mhe. Susan Limbweni Aloyce Kiwanga,Mb
  6. Mhe. Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa, Mb
7. Mhe. Muhamad Amour Chomboh, Mb
  8. Mhe. Waride Bakar Jabu, Mb
  9. Mhe. Kaika Saning’o Telele, Mb
  10. Mhe. Amina Andrew Clement,Mb
  11. Mhe. Ester Amos Bulaya, Mb
12. Mhe. John John Mnyika, Mb
13. Mhe. Michael Lekule Laizer, Mb
  14. Mhe. Mwanakhamis Khasim Said, Mb
15. Mhe. Salim Hemed Khamis, Mb
16. Mhe. Al-Shymaa Kwegyr, Mb
  17. Mhe. Grace Sindato Kiwelu, Mb
  18. Mhe. Salim Abdullah Turky, Mb
  19. Mhe. Abuu Hamoud Juma, Mb
20. Mhe. Kisyeri Werema Chambiri, Mb 

--
Kwa Mamlaka aliyopewa Spika na kanuni ya 113 ya Kanuni za kudumu za Bunge Toleo la 2007, uteuzi wa wajumbe wa kamati kwa kipindi kilichobaki cha uhai wa Bunge hili sasa umekamilika kama ilivyo kwenye orodha.
Madhumuni ya kuwapanga upya waheshimiwa Wabunge kwenye kamati mbalimbali ni kuwapatia fursa wabunge kadri inavyowezekana kujipatia ujuziu na uzoefu wa shughuli za Kamati tofauti na pia kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na kanuni za 113 (5)
Uteuzi huu unaanza tarehe 14 Machi, 2013, na  saa sita mchana tarehe 15 Machi, 2003 ni uchaguzi wa Wenyeviti wa kamati hizo katika kumbi mbalimbali zinavyoonyesha .
Imetolewa na Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa

Ofisi ya Bunge
DAR ES SALAAM
14 MACHI, 2013

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO