Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MKUTANO WA LOWASSA TABORA, ALAKIWA NA MAELFU, AAHIDI KUONDOA KODI KWENYE TUMBAKU

Mh Edward Lowassa akiwahutubia na kunadi sera zake kwa wananchi Tabora.

Edward Lowassa akiteta jambo na Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, wakati wakitoka kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni, mjini Tabora, Septemba 5, 2015.

Aliekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mngeja akiuhutubia Umati wa wakazi wa mji wa Tabora, waliofurika kwa wingi kwenye uwanja wa Town School, kulikofantika mkutano wa kampeni za kunadi sera za mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Meh. Edward Lowassa, Septemba 5, 2015.

David Kafulila, akimwaga cheche zake.

Mhe. Fredrick Sumaye, akisisitiza jambo.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman Mbowe akiwasalimia wananchi wa Tabora.

Picha na Othman Michuzi.

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO