Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Arusha: Wasiodai na wasiotoa risiti wakati wa manunuzi kuanza kukamatwa na dola

Vyombo vya dola Mkoani Arushavimeanzamaandalizi ya kushirikiana na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Arusha kuendesha zoezi la kuwakamata na kuwatoza faini wananhi wanaoendelea kununua bidhaa bila kudai risiti na wafanyabiashara wanaoendelea kuuza bidhaa bila kutoa risiti. Hatua hiyo inalenga kuokoa  fedha zinazopotea kila siku kutokana na tatizo hilo

Menenja wa TRA Mkoa wa Arusha Bw Apili Mbaruku amesema mwananchi atakayekamatwa akiwa na bidhaa ambayo haina risiti atatozwa faini ya shilingi 30,000 wakati mfanyabaiashara aliyeuza bila kutoa risiti atatozwa milioni tatu adhambu ambazo zinaweza kwenda pamoja na kushitakiwa Mahakamani.


Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO