Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!


                                      
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe. Julius Kalanga (mwenye suti ya kijivu pichani) amekagua ujenzi wa kituo cha afya Makuyuni na miradi mingine ndani ya Kata hiyo, na kuchangia lori 7 za kokoto na mifuko 100 ya cement.

Hata hivyo ametoa wito kwa jamii na wadau wengine kujitokeza kuchangia miradi ya maendeleo  ili kuboresha maisha ya wananchi.







Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO