Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Kesi nyingine ya Lema na Mke wake Yaahirishwa mpaka februari 2, 2017


Image result for picha ya lema na mkewe
Na.Vero Ignatus Arusha

Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na mkewe Neema Lema wamefikishwa katoka mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Arusha kusomewa mashtaka yanayowakibili katika kesi namba 351 ambapo wanatuhumiwa kutuma meseji yenye ujumbe wa kumtukuna mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Mashaka Gambo

Wakili wa upande wa mshtaka Alice Mtenga amewataja mashahidi watano wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ambao watatoa ushahidi katika kesi hii

Hata hivyo mawakili upande wa utetezi wakiongozwa na John Malya umetoa notisi ya pingamizi la awali la mdomo kuwa hati ya mashitaka ina mapungufu kwa hiyo baadae wataiomba mahakama itupilie mbali hati hiyo.

Hakimu anayesikiliza shitaka hili Nestory Barro ameiahrisha kesi hiyo hadi tareh 3 mwezi februari mwaka huu
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO