Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Vilio, simanzi Zanzibar; waliokufa wafikia 154, maiti zilizoopolewa zafikia 63

indexA - CopyWAKATI vilio na simanzi vikiendelea kutawala kwa wananchi wa Zanzibar, kufuatia ajali mbaya ya kuzama kwa meli ya Mv Skagit juzi mchana katika eneo la Chumbe, serikali imetoa maelezo kuwa meli hiyo ilikuwa na abiria 290.

Hadi jana jioni maiti 63 zilikuwa zimeopolewa huku watu wengine 146 wakiokolewa hai na 81 wakiwa bado hawajapatikana licha ya juhudi za uokoaji kuendelea kwa msaada wa ndege ya Umoja wa Ulaya.

Hata hivyo, Msemaji wa Polisi visiwani Zanzibar, Mohamed Mhina, alisema juhudi za uokoaji zinaendelea lakini ni jambo lisilowezekana kabisa watu kupatikana wakiwa hai kutokana na kuzama kabisa kwa meli hiyo.

Kufuatia ajali hiyo, Rais Jakaya Kikwete, alifika visiwani humo jana jioni na kwenda moja kwa moja hadi viwanja vya Maisara ambako wananchi wamefurika wakitambua maiti za ndugu zao.

Bofya Tanzania Daima kwa taarifa nzima

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO