Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Pinda akimtambulisha Magufuli Sumbawanga

Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jioni ya leo.
   Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani nyuma ni Waziri Mkuu Pinda akishuhudia tukio hilo.
 
   Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa atawatumikia kwa nguvu zake zote, na hatokuwa na simile kwa watendaji wazembe.

Wananchi wa Sumbawanga mjini wakiwa wamefurika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akimwaga sera kwa wananchi
Wananchi wa Sumbawanga mjini waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Nelson Mandela jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni ambapo Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli aliwahutubia.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Mh.Pinda akimtambulisha Dkt Magufuli kwa wananchi wa Kata ya Majimoto,wilaya ya Mlele mkoani Katavi kwenye mkutano wa Kampeni.
Umati wa wananchi wa Kitai wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli lipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa Kampeni.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe akisisitiza jambo alipokuwa akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Maji moto wilayani Mlele mkoani Katavi.
Umati wa wananchi wa Namanyere walayani Nkasi mkoani Rukwa wakiwa wamefurika wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli lipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano huo wa Kampeni
  Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Nelson Mandela ,Sumbawanga mjini tayari kuwahutubia wakazi wa mji huo.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Nelson Mandela.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Nelson Mandela.
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi jukwaani anaewania nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nkasi Ndugu Ali Kessy,mbele ya wananchi wa Namanyere wilayani Nkasi jioni ya leo kwenye mkutano wa Kampeni.
Mgombea Ubunge wa jimbo la Mpimbwe,Dkt Pudenciana Kikwembe akimwombea kura Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Majimoto wilayani Mlele mkoani Katavi.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi jukwaani anaewania nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nkasi Ndugu Ali Kessy,mbele ya wananchi wa Namanyere wilayani Nkasi jioni ya leo kwenye mkutano wa Kampeni.
Baadhi ya Wafuasi wa chama cha CCM wakishangilia jambo wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Nelson Mandela jioni ya leo.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa mji wa Namanyere wilayani Nkasi (hawapo pichani),kabla ya kuanza kuwahutubia kwenye mkutano huo wa kampeni,kati ni Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda pamoja na anaewania nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nkasi Ndugu Ali Kessy
Moja ya bango lililobebwa na baadhi ya wafuasi wa CCM ndani ya uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga jioni ya leo.
  Kada wa CCM Mzee Chrisant Mzindakaya akiwahutubia wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Nelson Mandela.
Baadhi ya Wafuasi wa chama cha CCM wakishangilia jambo wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Nelson Mandela jioni ya leo.
  Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa atawatumikia kwa nguvu zake zote, na hatokuwa na simile na watendaji wazembe.
 

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe akiwapungia wananchi alipokuwa akiwasilia katika Kata ya Maji moto alipokwenda kuwahutubia wakazi wa kata hiyo wilayani Mlele mkoa wa Katavi.kulia kwa mgombea ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Mh.Pinda
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe akiwapungia wananchi alipokuwa akiwasilia katika Kata ya Maji moto alipokwenda kuwahutubia wakazi wa kata hiyo wilayani Mlele mkoa wa Katavi.kulia kwa mgombea ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Mh.Pinda
Wakifurahia jambo
Wafuasi wa chama cha CCM wakishangilia kwenye mkutano wa kampeni ndani ya uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Lunyala,wilayani Nkasi alipokuwa akielekea mjini Namanyere kuwahutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe (hayupo pichani) akiwahutubia wakazi wa kata ya Maji moto,wilayani Mlele mkoani Katavikwenye mkutano wa kampeni.
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO