Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MGOMBEA URAIS MWENZA WA MAGUFULI BI,SAMIA SULUHU AHUTUBIA ARUSHA HII LEO

Pictures by: Woinde Shizza

mgombea mwenza wa nafasi ya urais  Bi. Samia Suluhu akiwa anawahutubia wananchi wa mkoa wa Arusha katika viwanja vya Samunge vilivyopo jijini hapa

wananchi waliouthuria katika mkutano huo hii leo

mgombea mwenza wa nafasi ya urais akiwa anacheza ngoma  iliyokuwa inapigwa na wamama wa chama cha mapinduzi waliouthuria mkutano huo

baadhi ya  makada wa chama cha mapinduzi ambao wamewai kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo la Arusha mjini wakashidwa kutokana na kura wakiwa ndani ya mkutano

mgombea mwenza wa nafasi ya urais  Bi. Samia Suluhu akiwa ana mnadi mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini  Philemon Mollel hii leo

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO