Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

JAMES MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO (MBATIA CUP 2015). KUCHUANA NA INNOCENT SHIRIMA WA CCM

Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akiwasili katika uwanja wa Himo Polisi kwa ajili ya kushuhudia fainali ya Mashindano ya Kombe la Jimbo ,maarufu kama Mbatia Cup 2015.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa,James Mbatia akisamiana na wachezaji wa timu ya Wazalendo fc kabla ya kuanza kwa mchezo.

Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akikagua kikosi cha wachezaji wa timu ya Himo fc.

Kikosi cha timu ya Himo fc.
Kikosi cha timu ya Wazalendo fc.
Heka heka zikiendelea uwanjani.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akizungumza wakati wa fainali hiyo kaba ya kukabidhi zawadi kwa mabingwa wa mashindano hayo.
Mmoja wa waratibu wa mashindano ya Kuwania kombe la Mbatia,Danielson Shayo akisoma risala ya mashindano hayo wakati wa fainali hizo.
Mh Mbatia akikabidhi zawadi ya kikombe kwa mabingwa wa mashindano hayo timu ya Himo fc,iliyochomoza na ushindi dhidi ya Wazalendo fc wa bao 2 kwa 0.
Mh Mbatia akikabidhi kitita cha fedha kiasi cha sh Milioni 2 kwa mabingwa hao.
Mh Mbatia akikabidhi zawadi ya mipira mitatu kwa mabingwa hao.
Mh Mbati akikabidhi zawadi ya viatu vya mpira kwa mfungaji bora.
Mh Mbatia akikabidhi vyeti kwa waratibu wa mashindano hayo .
Mh Mbatia akikabidhi zawadi kwa msaidizi wake ,Hamisi Athumani kwa kufanikisha mashindano hayo.
Waratibu wa mashindano ya Mbatia Cup wakiwa katika pcha ya pamoja na Mh Mbatia.
Kikundi cha sarakasi kikionesha umahiri katika kucheza sarakasi katika fainali hizo.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii ,Kanda ya Kaskazini.
Wakati huo huo... DICKSON BUSAGAGA ANATUHABARISHA KUHUSU MGOMBEA WA CCM
Mgombea wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Vunjo,Innocent Shirima akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kufika ofisi za msimamizi wa Uchaguzi katika jimbo hilo ambaye ni mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi.
Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo ,Innocent Shirima akikabidhiwa fomu za kuwania ubunge katika jimbo la hilo na msiamizi wa Uchaguzi ,Furgence Mponji ambaye pia ni mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.
Mgombra Ubunge wa jimbo la unjo kupitia chama cha Mapinduzi,Innocent Shirima akionesha fomu zake za kuwania Ubunge katika jimbo hilo.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo,Innocent Shrima akiwa na makada waliomsindikiza wakatialipofika ofisi za msimamizi wa uchaguzi kwa ajili ya kuchukua fomu.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Knada ya Kaskazini.
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO