Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

DK. MAGUFULI ACHUKUA FOMU TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KWA KISHINDO, AIWASILISHA KWA KIKWETE KUTHIBITISHA

Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli na Mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan wakiondoka kwa gari la wazi kutoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuchukua fomu ya kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Msafara wa Mgombea Mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli akipita kwenye makutano ya baabara ya Morogoro na Bibi Titi Mohammed, wakati mgombea huyo akienda kuchuua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Mwananchi akipunga mkono kufuarhia msafara wa Mgombea Mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli akati ukipita kwenye makutano ya baabara ya Morogoro na Bibi Titi Mohammed, wakati mgombea huyo akienda kuchuua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Wananchi akipunga mkono kufuarhia msafara wa Mgombea Mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli wakati ukipita kwenye baabara ya Bibi Titi Mohammed, mgombea huyo akienda kuchuua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Mgombea mteue wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli akiigia Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi huku akisindikizwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli akisaini fomu maalum, baada ya kuingia Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuomba kugombea urais. Kulia ni Mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan

Dk. Magufuli akisaini fomu maalum

Mgombea Mwenza, Samia Suluhu Hassan akitia saini fomu hizo maalum

Mgombea Mwenza, Samia Suluhu Hassan akitia saini fomu hizo maalum

Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Adam Nyando akimpatia maelezo muhimu, Dk. Magufuli kabla ya kumkabidhi

Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Adam Nyando akimpatia maelezo muhimu, Dk. Magufuli kabla ya kumkabidhi

Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Adam Nyando akimpatia maelezo muhimu, Dk. Magufuli kabla ya kumkabidhi

Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Adam Nyando akimkabidhi Dk. Magufuli mkoba wenye fomu zote za kuomba urais. Huku Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassani na Katibu wa CCM, Abdlrahman Kinana wakishuhudia kwa makini

Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Adam Nyando akimkabidhi Dk. Magufuli mkoba wenye fomu zote za kuomba urais. Huku Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassani akishuhudia kwa makini

Dk. Magufuli na mgombea mwenza wake Samia Suluhu Hassan wakionyesha mkoba wenye fomu zao, nje Ofisi ya Tume

Maelfu ya wananchi wakimsindikiza Dk. Magufuli kurejea Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, baada ya kuchukua fomu

Maelfu ya wananchi wakimsindikiza Dk. Magufuli kurejea Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, baada ya kuchukua fomu

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihamasisha  umati wa wananchi waliokuwa wamefurika kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, wakimsubiri kumpokea Dk. Magufuli akirejea kwenye Ofisi hiyo baada ya kuchukua fomu NEC.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, ili amkaribishe jukwaani, kuonyesha fomu zake, mgobea Mteule wa Urais wa tiketi ya CCM, Dk. John Maguli, kwenye Ofisi ya CCM Lumumba

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na umati wa wananchi kabla ya kumkaribisha Dk. Magufuli kuzungumza na wananchi baada ya kurejea na fomu zake, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba

"Fomu ndiyo hizi", Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimsaidia Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli kuonyesha fomu za kuwania Urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi, alizowasili nazo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam

Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akizungumza na wananchi kwenye viwanja vya Ofisi Ndgo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, baada ya kurejea na fomu yake ya kuwania Urais

Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akizungumza na wananchi kwenye viwanja vya Ofisi Ndgo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, baada ya kurejea na fomu yake ya kuwania Urais

Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akiserebuka kidogo muziki wa TOT baada ya kuzungumza na umati wa wananchi kwenye viwanja vya Ofisi Ndgo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, baada ya kurejea na fomu yake ya kuwania Urais

Dk. Magufuli akiwashukuru wananchi kwa mapokezi waliyopmpa

Kisha akawaanga kabla ya Rais Kikwete kuja kumchukua jukwaani

Rais Kikwete, Naye akajiunga kucheza muziki kidoogo wa TOT kabla ya kuwashusha jukwaani Dk. Magufuli na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassani

Dk. Magufuli akiwaaga wananchi baada ya kumalizika mkutano huo wa mapokezi yake

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwaanga wananchi baada ya mapokezi hayo ya Dk. Magufuli, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba.

>HALI ILIVYOKUWA KWENYE OFISI NDOGO YA MAKAO MAKUU YA CCM LUMUMBA KABLA YA DK. MAGUFULI KWENDA KUCHUKUA FOMU

Kikundi cha Tanzania One Theatre, kikitumbuiza, mbele ya Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, wakati akisubiriwa Dk. Magufuli na mgombea mweza wake kuwasili kwenye Ofisi hiyo kabla ya kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu leo

Mjumbe wa Kamati Kuu ambaye pia ni Mkumbe wa NEC, Uchumi na Fedha Mama Zakia Meghji akiongoza baadhi ya wana CCM kuserebuka wimbo wa TOT

"Sikia Bwana, asikudanganye mtu CCM ndiyo Chama dume..." Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimwambia Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dinas Masaburi, wakati akisubiwa Dk. Magufuli kufika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba

"Hapa tumejipanga hadi wapinzani waisome namba" Kinana akimwambia Naibu Katibu Mkuu wake, Rajabu Luhavi wakati akisubiwa Dk. Magufuli kufika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha mgombea mwenza Samia Suhulu Hassan, baada ya kuwasili

Katibu wa NEC, Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro akisalimiana na mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassa baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM. Dk. Asha-Rose ni miongoni mwa waomba kuwania Urais kwa tiketi ya CCM ambaye alifanikiwa kuingia tatu bora katika mchakato wa kumpata mgombea wa CCM uliomuibua Dk. Magufuli

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akifurahia jambo na Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa, wakati akisubiwa Dk. Magufuli kufika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba

Baadhi ya viongozi na wana CCM na Makada wa CCM wakimsubiri Dk. Magufuli

Msafara wa mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli ukiwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba

Dk. Magufuli akisalimia umati wa wananchi baada ya kuwasili Ofisi ya CCM, Lumumba

Wananchi wakimpungia mikono Dk. Magufuli baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba

Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Muhammed Seif Khatib akimlaki Mgombea Mteule wa Urais wa CCM, Dk. Magufuli baada ya kuingia chumba cha mapumziko kwa muda, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba

Dk. Magufuli akimsalimia Dk. Fenela Mkangara baada ya kuwasili chumba cha mapumziko kwa muda katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba

Dk. Magufuli akimsalimia Dk. Didas Masaburi

Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akizungumza na Dk. Magufuli katika chumba cha mapumziko kwa muda

Dk. Magufuli akiwa na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM

Dk. Magufuli akiteta jambo na Dk. Asha-Rose Migiro

Baadhi ya viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwa katika chumba cha mapumziko ya muda baada ya kuwasili Dk. Magufuli

Mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea

Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akizungumza na Dk. Asha-Rose Migiro na Muhammed Seif Khatib

Dk. Magufuli akifurahia jambo na Mwenyekiti wa UWT, Sohia Simba. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiteta jambo na Dk. Magufuli

Nape akipata ushauri kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara, Philip Mangula

Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akisalimia na Silaa. Kulia ni Dk Hussein Mwinyi

Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akimsalimia mgombea mwenza

Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akimsalimia Dk. Magufuli

Dk. Magufui akimsikiliza kwa makini wakati Madabida akimweleza jambo

Dk. Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Ilala Mussa Zungu

Dk Asha Rose Migiro akiteta jambo na Sophia Simba na Amina Makilagi

Dk Magufuli akisalimiana na Abbas Mtemvu

Dk. Magufuli akitoka chumba cha mapumziko ya muda tayari kwa safari ya kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi

Dk. Magufuli akiwasalimia wananchi kabla ya kuanza safari

Dk. Magufuli akiwasalimia wananchi kabla ya kuanza safari

Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli na mgombea mwenza wake wakiwa katika gari la wazi kutoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Picha zote na Bashir Nkoromo

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO