Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN AWANADI WAGOMBEA UBUNGE WA MAJIMBO YA MKOA WA KILIMANJARO.


Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama cha Mapinduzi ,Samia Suluhu Hassan alipowasili uwanja wa Majengo mjini Moshi kwa ajili ya mkutano wake wa kampeni wa hadhara.

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakiwa katika mkutano wa kampeni ya Mgombea Mwenza wa Chama cha Mapinduzi alifanya mkutano wake katika uwanja wa Majengo mjini Moshi.


Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi,Samia Suluhu Hassan akiwatambulisha wagombea Ubunge katika majimbo matatu ya Moshi mjini (Dais Mosha),Vunjo(Innocent Shirima)na Moshi vijijini (Dkt Cyril Chami).
Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo ,Innocent Shirima akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Majengo mjini Moshi.
Mgombea Mwenza wa Urais ,Samia Suluhu Hassan akimtamburisha mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi mjini ,Davis Mosha wakati akimuombea kura wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Majengo mjini Moshi.
Mgombea Mwenza wa Urais ,Samia Suluhu Hassan akimtamburisha mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi vijijini Dkt Cyril Chami wakati akimuombea kura wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Majengo mjini Moshi.
Mgombea Mwenza wa Urais ,Samia Suluhu Hassan akimtamburisha mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo ,Innocent Shirima wakati akimuombea kura wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Majengo mjini Moshi.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Davis Mosha akizungumza katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Urais ,Samia Suluhu Hassan aliyeanzia kampeni zake mkoani Kilimanjaro.

Mgombea Mwenza wa Urais,Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Majengo mjini Moshi.


Wagombea Ubunge wa majimbo ya Moshi mjini,Vunjo na Moshi vijijini wakisikiliza kwa makini hotuba ya mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais,Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa majengo mjini Moshi.
Baadhi ya wanachama wa Chaa cha Mapinduzi  katika mkutano ho.
Wagombea wa nafasi ya Udiwani katika jimbo la Moshi mjini.
Baadhi ya wanachama wa chama cha Mapinduzi.
Mgombea Udiwani kata ya Miembeni ,Bw Juma ,akizungumza kwa niaba ya madiwani wenzake.
Baadhi ya wanachama wa CCM mkoa wa Kilimnajrao,

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO