Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

AZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015

 

Wachezaji wa Azam FC wakishangilia wakiwa na Kombe lao baada ya kukabidhiwa katika mchezo wa fainali baada ya kuifunga Gor Mahia ya Kenya 2-0.

Kombe la Kagame walilotwaa Azam FC.

(Picha zote na Francis Dande)

Nahodha wa Azam John Bocco akipokea kitita cha dola za kimarekani dola elfu 30.

Viongozi wa Azam pamoja na wachezaji wakiwa katika picha ya pamoja.

Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akiwa amebebwa na wachezaji wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame dhidi ya For Mahia ya Kenya uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam. Azam ilishinda 2-0.

Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akiwa amebebwa na wachezaji wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame dhidi  ya For Mahia ya Kenya uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam. Azam imeshinda 2-0.

Shomari Kapombe wa Azam FC akichuana na mchezaji wa timu ya Gor Mahia ya Kenya, Aucho Khalid.

Furaha ya ushindi.

Kocha wa Azam, Stewart Hall (kulia) akipeana mkono na mwenzake wa Gor Mahia.

Wachezaji wa Azam FC wakishangilia baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali.

Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akishangilia goli la pili aliloifungia timu yake.

Mashabiki wa Azam FC

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO