Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRAk MAPOKEZI YA LOWASlSA NA UKAWA JIJINI MWANZA VIWANJA VYA FURAHISHA

 

Waziri Mkuu Mstaafu Lowassa,  Akizungumza na wananchi pamoja na wafuasi wa chama hicho Jijini Mwanza katika Viwanja vya Furahisha Kirumba. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa UJIJIRAHAA BLOG.


Wananchi wakiwemo wafuasi wa Chama hicho wakionyesha juu Mikono wakiwa wanaonyesha vidole juu

Mwenyekiti wa Chama hicho Mbowe (kulia) akiwa juu ya Gari akiwasalim wanachama wa Chama hicho alipokuwa akiwasili viwanja vya Furahisha Jijini Mwanza na kushoto ni aliyewa  Mbunge wa Jimbo la Kahama, mkoani Shinyanga, James Lembeli kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) aliye timkia Chadema.

Lowassa akiwapungia mkono wananchi na wafuasi wa Chama hicho alipokuwa akiingia katika viwanja vya Furahisha, Kirumba Jijini Mwanza

Lowassa akisalimiana na Mwenyekiti wake

Viongozi wa Chama hicho wakiwa wamesimama wakati walipokuwa wakiimba wimbo wa Taifa

Lowassa wakiteta jambo na Mwenyekiti wa Chama hicho

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia  akiteta jambo na Lowassa katika viwanja vya Furahisha

Askari wa Jeshi la Polisi walipata wakati mgumu  wakihakikisha usalama unakuwepo katika maeneo hayo

Walinzi wa Lowassa wakihakikisha usalama unakuwepo katika Gari la Kiongozi huyo na wengine wakitaka wampe mikono na wakatumia kamba.

Mapacha waungana

Mikono wa wafuasi hao wakipunga mikono

Wengi wajitokeza mapokezi ya Lowassa

Kabla hajafika Kiongozi huyo katika viwanja vya Furahisha

Sehemu ya uwafuasi na wanachama

CREDIT: MATUKIOTZ

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO