Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

HUU HAPA MGAWANYO WA MAJIMBO YA UKAWA KWA UCHAGUZI WA OKTOBA 25, 2015

 


UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI (UKAWA)

MGAWANYO WA MAJIMBO YA UBUNGE KWA VYAMA VINAVYOUNDA UKAWA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2015

Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), uliasisiwa wakati wa Bunge Maalum la Katiba mwaka 2014, lengo likiwa kuunganisha nguvu za Wabunge wote wa Bunge hilo kwa ajili ya kusimamia na kutetea maoni ya wananchi yaliyowasilishwa kupitia rasimu ya pili ya Katiba iliyotayarishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

UKAWA ulihusisha wabunge kutoka vyama mbalimbali vya upinzani na baadhi ya wabunge kutoka kundi lililojulikana kama la 201. Baadaye, UKAWA ulibaki na wabunge na Viongozi kutoka vyama vya NLD, NCCR – Mageuzi, CUF na CHADEMA.

Ikumbukwe kwamba viongozi wakuu wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) walikubaliana tangu mwaka 2014 kuwa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 UKAWA utasimamisha mgombea mmoja katika kila ngazi ya Uchaguzi kuanzia Rais wa Jamhuri ya Muungano, Rais wa Zanzibar, Mbunge, Mwakilishi na Diwani katika maeneo yote ya nchi.

Azma na ndoto ya viongozi, wanachama wa vyama washirika wa UKAWA na Watanzania ni kuhakikisha Serikali ya CCM inaondoshwa katika majimbo yote, na kuingiza Serikali mpya ya UKAWA.

Baada ya Majadiliano ya  muda mrefu, kuhusu kuachiana majimbo ya Ubunge, vyama vinavyounda UKAWA vimefanikiwa kuachiana majimbo kama inavyoonekana katika orodha.

1. Mara
1. Rorya CDM
2. Tarime Mjini CDM
3. Tarime Vijijini CDM
4. Musoma Vijijini CDM
5. Butiama CDM
6. Bunda Mjini CDM
7. Mwibara CDM
8. Musoma Mjini CDM
9. Bunda Vijijini CDM
2. Simiyu
1. Bariadi CDM
2. Maswa magharibi CDM
3. Maswa mashariki CDM
4. Kisesa CDM
5. Meatu CDM
6. Itilima CDM
7. Busega CUF
3. Shinyanga
1. Msalala CDM
2. Kahama Mjini CDM
3. Kahama Vijijini CDM
4. Shinyanga Mjini CDM
5. Kishapu CDM
6. Ushetu CDM

4. Mwanza

1. Ukerewe CDM
2. Magu CDM
3. Nyamagana CDM
4. Kwimba CUF
5. Sumve CUF
6. Buchosa CDM
7. Sengerema CDM
8. Ilemela CDM
9. Misungwi CDM
5. Geita
1. Bukombe CDM
2. Busanda CDM
3. Nyang'wale CDM
4. Chato CDM
5. Mbogwe CDM

6. Kagera

1. Karagwe CDM
2. Kyerwa CDM
3. Bukoba Mjini CDM
4. Bukoba Vijijini CUF
5. Nkenge NCCR
6. Muleba Kaskazini CDM
7. Muleba Kusini CDM
8. Biharamulo CDM
9. Ngara NCCR

7. Mbeya

1. Lupa CDM
2. Songwe CDM
3. Mbeya Mjini CDM
4. Kyela CDM
5. Rungwe CDM
6. Busekelo CDM
7. Ileje NCCR
8. Mbozi Mashariki CDM
9. Momba CDM
10. Mbeya Vijijini CDM
11. Tunduma CDM
12. Viwawa CDM
8. Iringa

1 Ismani CDM
2 Kalenga CDM
3 Mufindi kaskazini CDM
4 Mufindi Kusini NCCR
5 Iringa Mjini CDM
6 Kilolo CDM
7 Mafinga Mjini CDM

9. Njombe

1 Njombe Kaskazini CDM
2 Lupembe CDM
3 Wanging'ombe CDM
4 Makete CDM
5 Ludewa CDM
6 Makambako CDM

10. Rukwa

1 Nkasi Kusini CDM
2 Kwela CDM
3 Nkasi Kaskazini CDM
4 Sumbawanga Mjini CDM
5 Kalambo CDM
11.Tanga

1 Handeni Mjini CUF
2 Handeni Vijijini CUF
3 Kilindi CDM
4 Pangani CUF
5 Tanga Mjini CUF
6 Muheza CDM
7 Bumbuli CUF
8 Mlalo CUF
9 Lushoto CUF
10 Korogwe CDM
11 Korogwe Vijijini CDM
12 Mkinga CUF
11. Kilimanjaro
1. Rombo CDM
2. Same Magharibi CDM
3. Same mashariki CDM
4. Vunjo NCCR
5. Moshi Vijijini CDM
6. Moshi Mjini CDM
7. Hai CDM
8. Siha CDM

12. Arusha

1 Arumeru Mashariki CDM
2 Arumeru Magharibi CDM
3 Arusha Mjini CDM
4 Longido CDM
5 Monduli CDM
6 Karatu CDM
7 Ngorongoro CDM
13. Manyara

1 Simanjiro CDM
2 Mbulu Vijijini CDM
3 Hanang CDM
4 Babati Mjini CDM
5 Babati Vijijini CDM
6 Kiteto CDM
7 Mbulu Mjini CDM
14. Dar es Salaam
1. Ubungo CDM
2. Kawe CDM
3. Kinondoni CUF
4. Ukonga CDM
5. Ilala CDM
6. Temeke CUF
7. Kibamba CDM
8. Mbagala CUF

15. Pwani

1 Bagamoyo CUF
2 Chalinze CDM
3 Kibaha Mjini CDM
4 Kibaha Vijijini CDM
5 Kisarawe CUF
6 Mkuranga CUF
7 Rufiji utete CUF
8 Mafia CUF
9 Rufiji Kibiti CUF
16. Morogoro
1. Kilosa CUF
2. Mikumi CDM
3. Morogoro Kusini CDM
4. Morogoro Kusini Mashariki CUF
5. Kilombero CDM
6. Mlimba CDM
7. Mvomero CDM
8. Ulanga Magharibi CDM
9. Ulanga Mashariki CDM
10. Morogoro Mjini CDM
17. Dodoma
1. Kondoa Mjini CUF
2. Kondoa Vijijini CUF
3. Chemba CUF
4. Kibakwe NCCR
5. Kongwa CDM
6. Dodoma Mjini CDM
7. Bahi CDM
8. Chilonwa CDM
9. Mtera NCCR
18. Singida

1 Iramba Magharibi CDM
2 Iramba Mashariki CDM
3 Singida kaskazini CDM
4 Singida Mashariki CDM
5 Singida Magharibi CDM
6 Manyoni magharibi CDM
7 Manyoni Mashariki CDM
19. Tabora

1 Bukene CUF
2 Nzega Mjini CDM
3 Nzega Vijijini CUF
4 Igunga CDM
5 Igalula CUF
6 Tabora Kaskazini CUF
7 Urambo CDM
8 Kaliua CUF
9 Ulyankulu CDM
10 Sikonge CDM
11 Tabora Mjini CUF
12 Manonga CDM

20. Katavi

1 Mpanda Mjini CDM
2 Mpanda Vijijini CDM
4 Katavi CDM
5 Nsimbo CDM
6 Kavuu CDM

21. Kigoma

1 Buyungu NCCR
2 Mhambwe NCCR
3 Kasulu Mjini NCCR
4 Kasulu Vijijini NCCR
5 Kigoma Kaskazini CDM
6 Kigoma Kusini NCCR
7 Kigoma Mjini CDM
8 Manyovu NCCR

22. Ruvuma

1 Tunduru Kaskazini CUF
2 Peramiho CDM
3 Mbinga Magharibi/Nyasa CDM
4 Mbinga Mashariki/Mbinga CDM
5 Namtumbo CUF
6 Songea Mjini CDM
7 Tunduru Kusini CUF
8 Madaba CDM
9 Mbinga Mjini NCCR
23. Mtwara
1. Newala Mjini CUF
2. Newala Vijijini CUF
3. Tandahimba CUF
4. Mtwara Vijijini CUF
5. Nanyamba CUF
6. Nanyumbu CUF
7. Lulindi NLD
8. Masasi NLD
9. Ndanda NLD
24. Lindi

1 Mtama CUF
2 Kilwa kaskazini CUF
3 Kilwa kusini CUF
4 Lindi mjini CUF
5 Ruangwa CUF
6 Nachingwea CUF
7 Liwale CUF
8 Mchinga CUF

Mhe. John Mnyika

Kny. Katibu Mkuu – CHADEMA

Mhe. Shaweji Mketo

Kny. Katibu Mkuu – CUF

Mhe. Nderakindo Kessy

Kny. Katibu Mkuu – NCCR

Mhe. Masudi I. Makujunga

Kny. Katibu Mkuu – NLD

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO