Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRA: MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2013 JIJINI ARUSHA NA KAULI MBIU "WATANZANIA TUDUMUSHE UMOJA NA AMANI YETU"

Mwenge wee...mwengee...mwengee Tunaukimbiza ...!!Mwenge wa Uhuru umetua leo jijini Arusha ,na kuanza kukimbizwa katika chuo cha Ufundi Arusha (Arusha Technical College) na kufanyika kwa Uwekwaji wa jiwe la msingi mradi wa SHAMBA DARASA kilimo cha Umwagiliaji na baadae utalala Sanawari jijini, Arusha.

Makamanda wa mwenge wakiimba......Mwenge wee...mwengee...mwengee Tunaukimbiza ...!!Mwenge wa Uhuru umetua leo jijini Arusha ,na kuanza kukimbizwa katika chuo cha Ufundi Arusha (Arusha Technical College) na kufanyika kwa Uwekwaji wa jiwe la msingi mradi wa SHAMBA DARASA kilimo cha Umwagiliaji na baadae utalala Sanawari jijini, Arusha.

Kauli mbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2013

Mwenge wa Uhuru ukiwa unalindwa na Kupumzishwa na Makamanda baada  ya kukimbizwa katika chuo cha Ufundi Arusha (Arusha Technical College) nakufanyika kwa Uwekwaji wa jiwe la msingi mradi wa SHAMBA DARASA kilimo cha Umwagiliaji na baadae utalala Sanawari jijini, Arusha.

Asilimia kubwa waliokuwepo katika mapokezi ya mbio za mwenge jijini Arusha Walikuwa wanafunzi wa Sekondari.

Maskauti wakielekea kupata Chakula cha mchana baada ya kuukimbiza Mwenge wa Uhuru 2013 katika eneo la Chuo cha ufundi Arusha (ATC) leo Jijini ,Arusha.

Wa mama wa Ki-Tanzania na sare zao, wakielekea kupata Chakula cha mchana baada ya kuukimbiza Mwenge wa Uhuru 2013 katika eneo la Chuo cha ufundi Arusha (ATC) leo Jijini ,Arusha.

RATIBA YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2013

Wanafunzi wa NGARENARO SEKONDARI wakitokelezea  baada ya kuupokea Mwenge wa Uhuru 2013 , Jijini Arusha.

Wanafunzi wa NGARENARO SEKONDARI wakiwa katika na nyuso za furaha baada ya kuupokea Mwenge wa Uhuru 2013 , Jijini Arusha.

Mwenge wee...mwengee...mwengee Tunaukimbiza ...!!Mwenge wa Uhuru umetua leo jijini Arusha ,na kuanza kukimbizwa katika chuo cha Ufundi Arusha (Arusha Technical College) na kufanyika kwa Uwekwaji wa jiwe la msingi mradi wa SHAMBA DARASA kilimo cha Umwagiliaji na baadae utalala Sanawari jijini, Arusha.

PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO, RICHARD MWAIKENDA

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO