Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

HAPA KAZI TU YA MAMA SAMIA YATIKISA MAJIMBO YA UBUNGO, KINONDONI NA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wake wa kampeni aliofanya leo katika eneo la Msasani jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam.

Wananchi wakimshangilia mgombea ,wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipohutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam, leo

Mgobea Ubunge jimbo la Mtera na Mjume wa NEC, Livingstone Lusinde akihutubia mkutano wa kampni w Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, uliofanyika leo sasani jimbola Kawe jijini Dar es Salaam.

Mdhanini wa mali za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Anna Abdallah, akihutubia mkutano wa kampeni wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, uliofanyika jimbo la Kawe Dar es Salaam.

Lusinde akizungumza na Mbunge wa Afrika Mashariki Angela Kizigha, wakati wa mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salam

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Katiba, Samwel Sitta akihutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan akiwa na Mzee Sitta na Mgombea Ubunge jimbo la Kawe wa tikati ya CCM, Kippi Warioba, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyikaleo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam, leo

Vijana wa CCM, wakionyesha furaha zao, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam.

Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa kampeni ulifanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam.

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam leo

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo, Dk. Didas Masaburi, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.

Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo Dk. Didas Masaburi akiomba kura kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.

Vijana wa hamasa wakiwa katika shamrashamra wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Jijini Dar es Salaam

Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni, Iddi Azan akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akimwelekeza jambo Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCm katika Jimbo la Kinondoni, Iddi Azan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.

Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia alipohutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, akihutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akiwaaga wananchi baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam

Wananchi wakimuaga Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Damia Suluhu Hassan baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Kwa Kopa, Mwananyamala, jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO