Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRA: WASHINDI WA "EDWARD MORINGE SOKOINE MINI MARATHON 2013" - MONDULI ARUSHA

"Dickson Marwa"kutoka katika Club ya "Olili"  ndiye mshindi wa kwanza katika mbio za kilometa 10 za kumuenzi hayati "Edward Moringe Sokoine" zilizofanyika jana Monduli Arusha.

Mshindi wa pili "Leonard John" (mwenye nyeusi kushoto) kutoka katika Club ya (Wining Spirit) akiwa na mshindi wa tatu "Msenduki Mohamed" kutoka katika Club ya (Hakika) wakiandikishwa mara baada ya kumaliza mbio za kilometa 10.

Mshindi wa kilometa 10 kwa wanawake - Catherine Lange akiwa mbele ya waandishi wa habari.

Mshindi wa kilometa 10 kwa wanawake - Catherine akihojiwa na TBC

Mshindi wa kilometa 10 kwa wanawake - Catherine Lange akipokea tuzo kutoka kwa Mh. Waziri Mkangara.

Mshindi wa pili katika kilometa 10 kwa wanawake, akiandikishwa mara baada ya kumaliza mbio.

Mshindi wa kwanza kwa wasichana kilometa 2 (kulia) akiwa na mshindi wa pili (kushoto).

Mshindi wa kwanza (kulia) akiwa na washindi wa pili na watatu kwa upande wa wanaume kwa kilomita 2.

Mshindi wa tatu (kushoto) kwa wasichana katika mbio za kilometa 2 akiwa na mshindi wa pili

PICHA ZOTE NA VICTOR MACHOTA WA ASILI YETU TANZANIA

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO