Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Ujenzi wa nyumba ya Zuma wachunguzwa

Rais Zuma na wakeze

Uchunguzi umeanza nchini Afrika Kusini kuhusu marekibisho yanayofanywa kwenye nyumba ya binafsi ya Rais Jacob Zuma, ujenzi utaogharimiwa na serikali.

Tangazo limetolewa na ofisi ya mhifadhi wa masilahi ya wananchi, baada ya magazeti kutuhumu kwamba ukarabati unaopangwa kufanywa kwenye nyumba ya Rais Zuma utaogharimu dola milioni 25, karibu wote unatarajiwa kulipwa na serikali.

Msemaji alieleza kuwa kamati ya uchunguzi imewasiliana na ofisi ya rais kuhusu ujenzi huo kwenye nyumba ya Rais Zuma ilioko Nkandla katika jimbo la KwaZulu-Natal.

Serikali ya Afrika Kusini inasema ujenzi huo unafuata kanuni rasmi.

Source: BBC Swahili

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO