Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MASHABIKI WA YANGA WALIVYOMPOKEA MBUYU TWITE JANA

 

Mbuyu Twite akiwa amevalishwa jezi namba 4 iliyoandikwa Rage

Beki mpya wa Mabingwa wa Kombe la Kagame, Dar Young Africans, Mbuyu Twite akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana akitokea Kigali Rwanda na kupata mapokezi makubwa kutoka kwa mashabiki wa soka.

Mchezaji nyota kutoka timu ya APR ya Rwanda Mbuyi Twite akizungumza na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana, baada ya Yanga kumpa mapokezi makubwa alipowasili jana kukipiga na timu hiyo.

  Moja wa mashabiki aliyekuja katika mapokezi ya Mbuyu Twite akiwa amelala chini

PICHA ZOTE NA MAELEZO: HAKI NGOWI

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO