Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAUGUZI ARUSHA LEO YAFANA,WATAKIWA KUACHA KAULI ZISIZOFAA KWA WAGONJWA

Wauguzi kutoka hospitali mbalimbali jijini Arusha wakiserebuka wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi duniani ilifanyika leo katika hospitali ya Selian(ALMC)

Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre(ALMC)akisoma hotuma yake.

Muuguzi Mkuu wa Jiji la Arusha,Jane Barakururiza alisema maadhimisho hayo ni muhimu sana kwao kutokana na wajibu wao wa kuwahudumia wagonjwa na kuwasaidia madaktari koukoa maisha ya wagonjwa.

Maadhimisho yaho yalianzia kweny hospitali ya AICC kwa maandamano na kupitia barabara ya Sokoine,Makongoro hadi hospitali ya Selian

Wauguzi wakiwasha mishumaa yao wakati maadhimisho hayo

Sanaa ya maigizo ilipamba maadhimisho hayo

Wauguzi waliamua kukumbukia enzi zile kuimba mashairi

Wauguzi wakila kiapo cha utii na uaminifu wakutokutoa siri za wagonjwa na kutokufanya vitendo viovu leo

PICHA NA FILBERT RWEYEMAMU

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO