Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Profesa Jay Ajiunga Rasmi na Chadema Mjini Dodoma!

Taarifa za mchana huu kupitia Mtandao wa JamiiForums zimethibitisha kuwa Msanii maarufu wa bongo flava Joseph Haule aka Proffesa Jay, leo hii amejiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kukabidhiwa kadi yake ya uanachama mjini Dodoma.

Katika hafla ya makabidhiano, Profesa Jay alikuwa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi na Mbunge wa Ubunge John Mnyika, wote kutoka Chadema.

Prof Jay Ajiunga Na ChademaProfesa Jay akikabidhiwa kadi na Sugu huku Ezekia Wenje, Mbunge wa Nyamagana akishuhudia

Prof Jay Na Sugu Na MnyikaProf Jay akionesha kadi yake.. kushoto kwake ni Mnyika na kulia ni Sugu.

prof jayPICHA ZOTE NA MITANDAO YA KIJAMII IKIWEMO JAMII FORUMS

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO