Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

WIGANA BINGWA MPYA FA.. YAIBANJUA MANCITY 1–0 KATIKA FAINALI ILIYOPIGWA WEMBLEY JIONI HII

BAO la Ben Watson katika dakika ya mwisho kabisa jioni hii limeipa Wigan ubingwa wa Kombe la FA kwa mara ya kwanza kabisa ikiichapa Manchester City 1-0 kwenye Uwanja wa Wembley.

Nyota huyo aliyetokea benchi alifunga kwa kichwa akiunganisha kona na kuwa shujaa wa mashabiki wa Wigan na kumfanya Roberto Mancini arejee nyumbani mikono mitupu.

Man City ilimaliza pungufu ya mchezaji mmoja baada ya Zabaleta kutolewa nje kwa kadi nyekundu daika ya 84.

Katika mchezo huo, kikosi cha Man City kilikuwa: Hart, Zabaleta, Kompany, Nastasic, Clichy, Silva, Toure , Barry/Dzeko dk90, Nasri/Milner dk54, Aguero na Tevez/Rodwell dk69.

Wigan: Robles, Boyce, Scharner, Alcaraz, Espinoza, McCarthy, McArthur, Gomez/Watson dk81, McManaman, Kone na Maloney.

Delight: Ben Watson headed home in the last minute as Wigan wont heir first ever FA Cup in dramatic style

Rahaaa: Ben Watson akishangilia bao lake la ubingwa wa FA

Despairing: Joe Hart couldn't keep Watson's header out as Wigan won their first ever major trophy

Joe Hart akiruka bila mafanikio

Borrowed time: Mancini is set for a Manchester City exit with Malaga's Manuel Pelligrini lined up to take over

Mancini sasa anaweza kutimuliwa Manchester City akimpisha kocha wa Malaga, Manuel Pelligrini

Head in hands: Sergio Aguero reacts to a missed chance for Manchester City

Sergio Aguero akijutia kupoteza nafasi ya kufunga

Battle: City midfielder Yaya Toure is tackled by Wigan's Paul Scharner

Kiungo wa City, Yaya Toure akikabiliana na Paul Scharner wa Wigan

Decisions: Both managers issue instructions to their team during the match

Refa mudaa: makocha wote walikuwa bize leo

Routine: The Wigan team huddle up on the pitch just prior to kick off at Wembley

Dua iliyopokewa: Wachezaji wa Wigan wakiomba dua kabla ya mechi

In the spirit: A Manchester City fan enjoys himself before the match

Shabiki wa Manchester City akifurahia na Kombe bandia kabla ya mechi

Support: Two Manchester City fans wear Mancini masks at Wembley

Mashabiki wawili wa Manchester City wakiwa wamevaa sura bandia za Mancini leo Wembley

Special delivery: The trophy is brought out into the stadium

Kombe la FA likiwasilishwa uwanjani

CREDIT: BIN ZUBEIRY BLOG

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO