Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Leo Mei 14 ni Siku ya Kuzaliwa Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg

Leo Mark Zuckerberg anasherehekea B'day yake,alizaliwa 14 May mwaka 1984. Arusha255 Blog tunamtakia maisha mema yanye afya tela hadi mwisho wa uzee wake miaka mingi ijayo.

Credit: annapita.com

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO