Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MAJINA YA WAGOMBEA UDIWANI WA CHADEMA - KANDA YA KASKAZINI HAYA HAPA

 

WAGOMBEA WA UDIWANI - KANDA YA KASKAZINI
Tarehe 15 Mei 2013, wagombea wafuatao wa CHADEMA walipitishwa na TUME YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi (UDIWANI) katika maeneo ya kata mbalimbali za kanda ya Kaskazini.
 
Wagombea hawa walipita katika mchujo wa uteuzi wa chama. Chama kina matarajio makubwa sana kuwa wananchi wa maeneo haya ya kata hizi watapata fursa nzuri ya kuwachagua wagombea wa CHADEMA ambao wana dhamira njema sana na ya kweli katika kuwatumikia.
 
Wagombea waliopitishwa pamoja na mikoa yao ni:

JINA LA MGOMBEA
KATA
JIMBO
MKOA
BI. YOSEPHA KOMBA
GENGE
MUHEZA
TANGA
BW. OMARI HATIBU SALIMU
TINGENI
MUHEZA
TANGA
BW. LAWRENCE SURUMBU TARA
BASHNET
BABATI VIJIJINI
MANYARA
BW. ERNEST JOROJIK
DONGOBESH
MBULU
MANYARA
ENG. JEREMIAH MPINGA
ELERAI
ARUSHA MJINI
ARUSHA
BW. RAYSON NGOWI
KIMANDOLU
ARUSHA MJINI
ARUSHA
BW. MALANCE KINABO
THEMI
ARUSHA MJINI
ARUSHA
BW. EMMANUEL KESSY
KALOLENI
ARUSHA MJINI
ARUSHA
BW. JAPHET SIRONGA LAIRUMBE
MAKUYUNI
MONDULI
ARUSHA

CHAMA kimejipanga kushiriki uchaguzi huu kikamilifu sana na katika maeneo yote kanda imeteua MAMENEJA WA KAMPENI ili kuhakikisha uratibu na utekelezaji wa kampeni kwa mfumo tuliouweka.


Imetolewa tarehe 16 Mei 2013.
Amani Golugwa
Katibu wa Kanda ya Kaskazini
Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO