Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

ECOBANK,MAWALLA ADVOCATE, MARCAS KUFIKISHWA MAHAKAMNI NA “SHANA BOY”KWA MADAI YA KUIBA MABILIONI YA FEDHA

Wakili Albert Msando akifungua mlango wa duka la Shana Boy walilolifunga kwa madai ya kudaiwa na ECOBANK baada ya kuamriwa na mahakama kuu kanda ya Dar es salaam kufanya hivyo , katikati mwenye kofia mkurugenzi wa Shana enterprises

Mwandishi Pamella Mollel akipiga picha wakati duka la mfanyabiashara Abdallah Mshana lilipokuwa likifunguliwa na wakili Albert Msando

Mkurugenzi wa Shana Entreprises, Abdallah Mshana aliyevaa kofia akijibu maswali ya waandishi wa habari walipokuwa wakishuhudia kufunguliwa kwa duka lake baada ya kufungwa na kampuni ya udalali ya Marcas, mwenye suti nyeusi ni Albert Msando anayeitetea Ecobank ambaye anadaiwa ndie aliyehusika kufunga duka hilo

Credit:  Pamela Mollel

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO