Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Dangote akutana na Rais Magufuli Ikulu Dar es Salaam na Kuzungumza

Rais wa Jmahuri ya Muungano ya Tanzania Mh Dk John Pombe Magufuli leo tarehe 10 Desemba 2016 amakutana na kufanya mazungumzo na mmilili wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mtwara, Alhaj Aliko Dangote.

Katika mazungumzo hayo, Rais Magufuli amemhakikishia mfanyabiashara huyo kuwa Serikali ya Tanzania itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji wote nchini katika kuimiza lengo lake lakuwa na Tanzania ya viwanda.

Rais Magufuli amesema kuhusu kiwanda cha Dangote kilichopo Mtwara hapakuwa na tatizo lolote ila kulikuwa na watu ambao walitaka kujinufaisha binafsi kupitia mradi huo kwa kufanya biasharaza ujanja kitu ambacho serikali haikiruhusu.

Ametaka Dangote kununua gesi moja kwamoja kutoka TPDC ambacho nichombo cha serikali badala ya watu ambaowamekuwa na nia ya kutengeneza faida tu! 




Rais Magufuli akifafanua juambo wakati wa kuagana na mgeni wake Mmiiki wa kiwanda chaSaruji cha Dangote cha MkoaniMtwara, Alhaji Aliko Dangote (mwenye tai ya bluu) 
PICHA ZOTE NA IKULU

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO