Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Hali ya Biashara Nchini: Maduka 1872 Yafungwa Dar na Arusha Katika Miezi Mitatu Pekee

Gazeti la Nipashe limenukuu taarifa ya Waziri wa Fedha Dk Philip Mpango na kuripoti kuwa wamiliki wa takribani maduka 1872 katika mikoa ya Arusha na Dar es Salaam ymeshindwa kuendelea na biashara nahivyo kuyafunga maduka hayo kutokana na kuyumba kwa biashara nchini katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

KUJUA ZAIDI TEMBELEA UKURASA HUU WA NIPASHE
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO