Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Meneja Mchina auwawa mgodini Zambia

Mgodi wa makaa nchini Zambia

Wachimba migodi wa Zambia wamemuuwa meneja Mchina, kwa kumvurumishia kiberenge wakati wa ghasia.

Mchina mwengine alijeruhiwa na Wazambia kadha piya.

Wafanyakazi walikuwa wakilalamika juu ya pato, kwenye mgodi kilomita 325 kusini ya mji mkuu, Lusaka.

Walikereka kwa sababu mshahara wao ulikuwa kasoro ya kiwango cha chini kipya kilichowekwa na serikali, cha dola 220 kwa mwezi, kwa wafanyakazi wa madukani.

Waziri wa Madini wa Zambia amekwenda kwenye mgodi huo.

Mwaka wa 2010 , mameneja wawili wa Uchina walishtakiwa kwa jaribipo la mauaji, kwa kufyatua risasi mbele wa wachimba migodi waliokuwa wakiandamana.

Source: BBC

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO