Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

SPIKA ANNA MAKINDA AONGOZA WABUNGE KUWATEMBELEA WAHANGA WA MABOMU,WAGONJWA NANE WAKIMBIZWA MUHIMBILI NA NDEGE YA TANAPA

Spika Ana Makinda akiwa na Mbunge Urambo mkoani Tabora,Profesa Juma Kapuya leo wakiwasalimia wagonjwa waliopatwa na janga la mabomu kanisani jumapili

21

Wabunge James Mbatia(mwenye tai)na Mh.Arfi wakijulia hali mgonjwa katika hospitali ya Mount Meru

Mmoja wa wagonjwa nane waliosafirishwa leo kwenda hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi

PICHA NA MAELEZO: FILBERT RWEYEMAMU

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO