Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRA: STARS ILIVYOINYUKA SUDAN JIJINI KAMPALA

Kikosi cha timu ya taifa ya Bara, Kilimanjaro Stars kilichoifunga 2-0 Sudan leo Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda katika mchezo wa Kundi B wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge 2012. Kutoka kulia waliosimama ni Nahodha Juma Kaseja, Kevin Yondan, Mwinyi Kazimoto, John Bocco, Erasto Nyoni na Shomari Kapombe. Walioinama kutoka kushoto ni Salum Abubakar, Simon Msuva, Amir Maftah, Frank Domayo na Mrisho Ngassa.

John Bocco 'Adebayor' akigombea mpira na beki wa Sudan

Mashabiki Stars kwa raha zao

Wachezaji Stars wakimpongeza Bocco baada ya kufunga bao la kwanza

Benchi la Ufundi Stars, kutoka kushoto kocha Mkuu, Kim Poulsen, Msaidizi wake, Sylvester Marsh, Meneja, Leopold Tasso 'Mukebezi na kocha wa makipa Juma Pondamali

Waandishi wa Habarfi wa Tanzania waliokuja Kampala kutoka kulia Alex Luambano, Sostenes Nyoni, Timzo Kalugiwa, Somoe Ng'itu, Zaituni Kibwana wakiwa na rais wa CECAFA, Leodegar Tenga na Katibu wake, Nicholaus Musonye

Amir Maftah akimtoka beki wa Sudan

Erasto Nyoni akitafuta mbonu za kumtoka beki wa Sudan

Salum Abubakar akigombea mpira na kiungo wa Sudan

Simon Msuva akigombea mpira na beki wa Sudan

Mrisho Ngassa akimtoka beki wa Sudan

John Bocco aliingia nao mpira nyavuni kufunga bao la pili. PICHA ZOTE NA BONGO STAZ BLOG

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO