Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Umoja wa Watanzania Ujerumani ! Wasanii wa Ngoma,kwaya na Sarakasi wanahitajika

Umoja wa Tanzania Ujerumani (UTU)
                 Wasanii wa Ngoma,kwaya na Sarakasi wanahitajika
    UTUUmoja wa watanzania Ujerumani,unafuraha kutoa wito kwa wasanii wa Tanzania wanaoishi nchini Ujerumani,wenye vipaji vya kupiga na kuchenga ngoma za kiasili,sanaa za maonyesho kama sarakasi, na waimbaji wa kwaya ,kujitokeza hili kuunda kikundi cha ngoma za kiasili,Wasanii tunawaomba muwasiliane na Mwenyekiti wa UTU namba ya simu +49(0)1734298997.
    Wasanii wa Tanzania mnaoishi Ujerumani mnaombwa kutokalia vipaji vyenu majumbani,tafadhalini tumieni nafasi hii kujitangaza
    Kuutangaza utamaduni wa nchi yetu.mfano mnauona kwa wanamuziki wa dansi wanajitangaza.
    Wasanii tumieni nafasi ,jitokezeni kwa wingi kuunda kundi.
    Umoja ni Nguvu
   Mfundo Peter Mfundo
   Mwenyekiti(UTU)
   email. kamati.utu@gmail.com      simu 01734292997
Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO