Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Mualiko wa Mkutano wa Uchaguzi "Umoja Tanzania Ujerumani" (UTU) Septembe 29, 2012 Mjini Frankfurt, Ujerumani

UNION OF TANZANIANS IN GERMANY

MKUTANO MKUU 29.SEP. 2012

Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU)  Unapenda kuwakaribisha  wanachama wote wa UTU, Katika Mkutano mkuu wa UTU. Utakaofanyika Katika ukumbi Uliopo Ringstr. 109, 65479 Raunheim).  Siku ya Tarehe 29.09.2012, Kuanzia saa 08:00 Mchana. Tunawaomba wanachama wote  wa UTU mhudhurie katika mkutano huu muhimu. Na kwa wale ambao sio wanachaama na wanahitaji kujiunga na UTU, tuandikie barua pepe kamati.utu@googlemail.com au unaweza kuwasiliana na Mwenyekiti kupitia simu ya mkononi. 0173-4298997 Karibuni sana

Ili uweze kupiga au kupigiwa kura inabidi uwe umelipia ada ya Kiingilio cha uwanachama, na uwe umelipa  ada ya uwanachama wa mwaka mzima.

Bank Informations

Union of Tanzania in German e.V

Acc. No.59641

BLZ 71160161

VR BANK Rosenheim-Chiemsee eG

MALAZI:

Malazi yatapatikana Hotel Attachè Raunheim) http://www.attache.de/de

Angalia details zote ta hoteli hii kwenye attachment niliyoambatanisha. Hoteli iko karibu na Ukumbi wa Mkutano, ni karibu dakika 10 hivi kwa mguu.
Address ni: Hotel Attachè, Frankfurterstr. 34, 65479 Raunheim Tel: 06142-2040, e-Mail: welcome@attache.de

Uzuri ni kuwa bei hii nafuu tumepewa sisi Watanzania kwa ajili ya Kikao hiki, kwa hivyo kila atakayefanya booking lazima ajitambulishe kwa kutumia (TANZANIA ORGANISATION - cc. Dr. Majura)  Ningependekeza mbali na kufanya booking moja kwa moja, ingefaa pia wamjulishe Bw. Majura kuwa wamefanya booking ili tuwe na orodha kamili.

kiwa watakuwepo watu wengi wa kutosha, basi tutapewa Hotel nzima kama ifutavyo:

8-    Single Bedroom    (Watu 8)           -   Euro 50,- kila chumba
11- Double Bedrooms (Watu 22)        -   Euro 50,- kila chumba
4-   Three Bedrooms    (Watu 12)        -   Euro 65,. kila chumba
4-   Small Double Bedrooms (Watu8) -  Euro 50,- kila chumba

Break First ni Extra

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO