Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

FFU wa Ngoma Africa Band wamekinukisha ! AFRIKA-MESSE, Bremen Ujerumani

Ngoma Africa band Live Bremen,Afrika-MesseNgoma Africa band Live Bremen,Afrika-Messe

FFU waelekeza pa kushambuliaFFU waelekeza pa kushambulia

ffu wakiwa na mitutu yaoffu wakiwa na mitutu yao

ffu walipotua BremenFFU walipotua Bremen

kamanda Ras Makunja akiipanga safu ya FFUkamanda Ras Makunja akiipanga safu ya FFU

Wakina mama ndio waliokua mstari mbele ktk gwaride la FFUMashabiki wa Ngoma Afrika wakiserebuka mjini Bremen
********

KIKOSI kazi cha Ngoma Africa Band iliyozoeleka kwa tabia zake za kupagawisha washabiki wa muziki ughaibuni, Jumamosi ya 15.9.2012 Ngoma Afrika walifanya kweli katika maonyesho makubwa ya biashara ya Afrika-Messe, mjini Bremen,kule Ujerumani. Bendi hiyo maarufu ilipanda jukwaani na  kufanikiwa kuziteka nyoyo za washabiki kwa mara nyingine tena kwa kuwadatisha akili na muziki wenye raha kamili.

CD za bendi hiyo zimekamata nafasi ya juu katika vituo mbali mbali vya Redio ndani na nje ya Ughaibuni,baadhi ya vituo vya radio zikiwamo Redio maarufu nchi Ujeruamani Radio Funkhaus Europa na Radio  Mult-Kult ndizo zinarusha kwa fujo nyimbo za Ngoma Africa band, inayoongozwa na kamanda Ras Makunja wa FFU.Unaweza kuwasikiliza pia katika kambi yao at http://www.ngoma-africa.com au www.ngoma-africa.com

Picha zote na Msemakweli wa NGOMA AFRIKA, Ujerumani

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO