 Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiondoka baada ya kutimuliwa kwenye mkutano huo
Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiondoka baada ya kutimuliwa kwenye mkutano huo Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiingia kwenye mkutano  wa wanahabari  viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam leo, walioandamana kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao, Daudi Mwangosi wa Channel Ten Tv,
 Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiingia kwenye mkutano  wa wanahabari  viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam leo, walioandamana kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao, Daudi Mwangosi wa Channel Ten Tv,
 " Dk. Nchimbi ondokaaaaa" mwandishi akipaza sauti kuungana na wenzake waliokuwa wanamkataa kuwepo Dk. Nchini.
 Dk. Nchini akajaribu kuwatuliza waandishi bila mafanikio. Dk.Nchimbo akIondoka akisindikizwa na viongozi wa Jujwaa la Wahariri
 Dk.Nchimbo akIondoka akisindikizwa na viongozi wa Jujwaa la Wahariri 
PICHA ZAIDI ZA MAANDAMANO HAYO YA WAANDISHI WA HABARI KAMA ILIVYORIPOTIWA NA MWANDISHI BASHIR NKOROMO
 Mwandishi Lauden Mwambona akiwa amegunga mdomo kama hivi wakati wa maandamano hayo
 Mwandishi Lauden Mwambona akiwa amegunga mdomo kama hivi wakati wa maandamano hayo Waandishi wakiwa nje ya ofisi za Channel Ten jijini Dar es Salaam, kabla ya maandamano hayo
 Waandishi wakiwa nje ya ofisi za Channel Ten jijini Dar es Salaam, kabla ya maandamano hayo Hawa nao wakati mmoja ameziba mdomo, mwenzake akaziba macho kufikisha ujumbe wa kulaani mauaji ya Mwangosi
 Hawa nao wakati mmoja ameziba mdomo, mwenzake akaziba macho kufikisha ujumbe wa kulaani mauaji ya Mwangosi Hamis Kibari na Hamis Mzee, wakijadiliana jambo kabla ya maandamano kuanza kwenye ofisi za Channel Ten
Hamis Kibari na Hamis Mzee, wakijadiliana jambo kabla ya maandamano kuanza kwenye ofisi za Channel Ten Hili ni moja ya mabango waliyokuwa nayo waandishi
 Hili ni moja ya mabango waliyokuwa nayo waandishi Jese Kwayi, Mzee Maro na mwezake wakiwa kwenye maandamano hayo
Jese Kwayi, Mzee Maro na mwezake wakiwa kwenye maandamano hayo Mpigapicha huyu akifanya jitihada za kupata picha nzuri za waaandamanaji
Mpigapicha huyu akifanya jitihada za kupata picha nzuri za waaandamanaji Maandamano yakitoka Ofisi za Channel Ten kupitia Morogoro Rd
 Maandamano yakitoka Ofisi za Channel Ten kupitia Morogoro Rd Ujumbe mwingine ni huu unaoelekezwa kwa Afande Mwema
Ujumbe mwingine ni huu unaoelekezwa kwa Afande Mwema Polisi akiwacheki kwa baaali wakati maandamano ya waandishi  yakikatiza Barabara ya Bibi Titi Mohammed
Polisi akiwacheki kwa baaali wakati maandamano ya waandishi  yakikatiza Barabara ya Bibi Titi Mohammed  Huyu ni Manyerere Jackton na bango lake
Huyu ni Manyerere Jackton na bango lake Polisi wakiwasindikiza waandamanaji, eneo la Fire
Polisi wakiwasindikiza waandamanaji, eneo la Fire Waandishi wakiingia viwanja vya Jangwani
Waandishi wakiingia viwanja vya Jangwani Dk. Rweitama ambaye ameshiriki maandamano hayo, akijadiliana jambo na Nyaronyo Kicheere kuhusu mambo mbalimbali wakati, baada ya maandamano kufika Viwanja vya Jangwani.
Dk. Rweitama ambaye ameshiriki maandamano hayo, akijadiliana jambo na Nyaronyo Kicheere kuhusu mambo mbalimbali wakati, baada ya maandamano kufika Viwanja vya Jangwani.
 Baada ya waziri kuondoka, viongozi wa waandishi wakaanza kuzungumza. Huyu ni Jame Mihanji wa Kbabu ya Waandishi ya Dar es Salaam.
Baada ya waziri kuondoka, viongozi wa waandishi wakaanza kuzungumza. Huyu ni Jame Mihanji wa Kbabu ya Waandishi ya Dar es Salaam. 
 Mwenyekiti wa Muungano wa vyombo vya habari Karsan akizungumza kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa Muungano wa vyombo vya habari Karsan akizungumza kwenye mkutano huo Viongozi wahahanikiza kulaani mauaji ya Mwangosi
Viongozi wahahanikiza kulaani mauaji ya Mwangosi Nevil Meena wa Jukwaa la Wahariri akizungumza
Nevil Meena wa Jukwaa la Wahariri akizungumza 
 Dk. Rweitama ambaye ameelezwa kuwa rafiki wa wanahabari akizungumza baada ya kukaribishwa jukwaani
Dk. Rweitama ambaye ameelezwa kuwa rafiki wa wanahabari akizungumza baada ya kukaribishwa jukwaani     


0 maoni:
Post a Comment