Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, DK. NCHIMBI ATIMULIWA ALIPOVAMIA MAANDAMANO YA WANAHABARI JANGWANI

Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiondoka baada ya kutimuliwa kwenye mkutano huo Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiingia kwenye mkutano  wa wanahabari  viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam leo, walioandamana kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao, Daudi Mwangosi wa Channel Ten Tv,

" Dk. Nchimbi ondokaaaaa" mwandishi akipaza sauti kuungana na wenzake waliokuwa wanamkataa kuwepo Dk. Nchini.

Dk. Nchini akajaribu kuwatuliza waandishi bila mafanikio. Dk.Nchimbo akIondoka akisindikizwa na viongozi wa Jujwaa la Wahariri

PICHA ZAIDI ZA MAANDAMANO HAYO YA WAANDISHI WA HABARI KAMA ILIVYORIPOTIWA NA MWANDISHI BASHIR NKOROMO

Mwandishi Lauden Mwambona akiwa amegunga mdomo kama hivi wakati wa maandamano hayo Waandishi wakiwa nje ya ofisi za Channel Ten jijini Dar es Salaam, kabla ya maandamano hayo Hawa nao wakati mmoja ameziba mdomo, mwenzake akaziba macho kufikisha ujumbe wa kulaani mauaji ya MwangosiHamis Kibari na Hamis Mzee, wakijadiliana jambo kabla ya maandamano kuanza kwenye ofisi za Channel Ten Hili ni moja ya mabango waliyokuwa nayo waandishiJese Kwayi, Mzee Maro na mwezake wakiwa kwenye maandamano hayoMpigapicha huyu akifanya jitihada za kupata picha nzuri za waaandamanaji Maandamano yakitoka Ofisi za Channel Ten kupitia Morogoro RdUjumbe mwingine ni huu unaoelekezwa kwa Afande MwemaPolisi akiwacheki kwa baaali wakati maandamano ya waandishi  yakikatiza Barabara ya Bibi Titi Mohammed Huyu ni Manyerere Jackton na bango lakePolisi wakiwasindikiza waandamanaji, eneo la FireWaandishi wakiingia viwanja vya JangwaniDk. Rweitama ambaye ameshiriki maandamano hayo, akijadiliana jambo na Nyaronyo Kicheere kuhusu mambo mbalimbali wakati, baada ya maandamano kufika Viwanja vya Jangwani.

Baada ya waziri kuondoka, viongozi wa waandishi wakaanza kuzungumza. Huyu ni Jame Mihanji wa Kbabu ya Waandishi ya Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Muungano wa vyombo vya habari Karsan akizungumza kwenye mkutano huoViongozi wahahanikiza kulaani mauaji ya MwangosiNevil Meena wa Jukwaa la Wahariri akizungumza

Dk. Rweitama ambaye ameelezwa kuwa rafiki wa wanahabari akizungumza baada ya kukaribishwa jukwaani

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO