Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

SIMBA YATWAA NGAO YA JAMII, YAIFUNGA AZAM 3-2

MABINGWA wa ligi kuu Bara Simba, wametwaa ngao ya Jamii baada ya kuifunga Azam Fc mabao 3-2 katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Katika mchezo huo,Azam Fc ilianza kwa kufunga maabao yake kupitia kwa John Bocco 'Adeboyor' na Kipre Tchetche kabla ya Simba kujipanga na kurudiskupitia kwa Daniel Akuffo, Emmanuel Okwi na Mwinyi Kazimoto.

Source: Dina Ismail (Sports Lady)

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO