Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Heche avuna wanachama wapya Keko

Jana mwenyekiti wa vijana  Taifa wa CHADEMA, John Heche alipokea wanachama zaidi ya 50 wakiwemo waliokihama CCM na kujiunga na Chadema  katika muendelezo wa programu yake za M4C nchi nzima. Heche aliwapa kadi za chadema wanachama hao wapya akiwamo aliyekuwa mwenyekiti wa UWT Kata ya Magulumbasi A.
Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO