Picha zilizopigwa kwenye tukio la mauaji hayo, zinaonyesha askari wakiwa wamemzingira na kumpiga Mwangosi, baadhi yao wakiwa na virungu, na wengine bastola. Mmoja miongoni mwao, ameshikilia bunduki na kuielekeza tumboni.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment