Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Listi ya Wabunge waliotia saini fomu za kusudio la kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu kwa Mh Zitto

Hii ndio orodha ya wabunge waliotia saini fomu hizo kufuatia taarifa za ripoti ya Kamati za Bunge kuonesha ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma.

1.    Mhe. Rashid Ali Abdallah – cuf
2.    Mhe . Chiku Aflah Abwao- chadema
3.    Mhe . Saluim Ali Mbarouk – cuf
4.    Mhe . salum Khalfam Barwany – cuf
5.    Mhe . Deo Haule  Filikuchombe- ccm
6.    Mhe.Pauline Philipo Gekul- chadema
7.    Mhe. Asaa Othman  Hamad-cuf
8.    Mhe. Prof.Kuliyokela Kahigi- Chadema
9.    Mhe.Naomi  Mwakyoma Kaihula – chadema
10.    Mhe . Sylvester Kasulumbayi- chadema
11.    Mhe. Raya Ibrahim Khamis  – chadema
12.    Mhe. Mkiwa Hamad Kiwanga  – cuf
13.    Mhe. Susan  Limbweni Kiwanga- chadema
14.    Mhe. Grace Sindato Kiwelu –chadema
15.    Mhe. Kombo Khamis Kombo – cuf
16.    Mhe. Joshua  Samwel  Nassari – chadema
17.    Mhe. Tundu Antiphas Lissu- chadema
18.    Mhe Aphaxar  Kangi Lugola- ccm
19.    Mhe susan Anselim Lymo- chadema
20.    Mhe. Moses Machali – NCCR Mageuzi
21.    Mhe. John Shibuda Magalle – Chadema
22.    Mhe. Faki  Haji  Makame- Cuf
23.    Mhe . Esther Nicholas Matiko- chadema
24.    Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi- Chadema
25.    Mhe. Freman  Aikaeli Mbowe- chadema
26.    Mhe. Kurudhum Jumanne Mchuchuli – chadema
27.    Mhe. Halima James Mdee-chadema
28.    John John Mnyika- Chadema
29.    Mhe. Augustino Lyatonga Mrema- TLP
30.    Mhe . Maryam Salum  Msabaha- chadema
31.    Mhe. Peter Msingwa-chadema
32.    Mhe. Christowaja Gerson Mtinda- chadema
33.    Mhe. Philipa Geofrey Mturano- chadema
34.    Mhe. Christina Lissu Mughwai- chadema
35.    Mhe. Joyce John  Mukya – chadema
36.    Mhe. Mchungaji  Israel  Yohane  Natse – chadema
37.    Mhe. Philemon Ndesamburo- chadema
38.    Mhe. Ahmed  Juma Ngwali- – cuf
39.    Mhe. Vincent  Josephat  Nyerere- chadema
40.    Mhe. Rashid  Ali Omar- cuf
41.    Meshack  Jeremiah Opulukwa- chadema
42.    Mhe. Lucy Philemon Owenya- chadema
43.    Mhe. Rachel Mashishanga- Chadema
44.    Mhe. Mhonga Said Ruhwanya – chadema
45.    Mhe. Conchesta Rwamlaza – Chadema
46.    Mhe. Moza Abedi  Saidy- cuf
47.    Mhe. Joseph  Roman Selasini – Chadema
48.    Mhe. David Ernest  Silinde- chadema
49.    Mhe Rose Kamili Sukum  – chadema
50.    Mhe. Cecilia Daniel Paresso- chadema
51.    Mhe .Kabwe Zuberi Zitto- Kigoma Kaskazini
52.    Mhe. Magdalena Sakaya – Cuf
53.    Mhe Rebecca Mngodo- Cuf
54.    Mhe. Sabreena Sungura -chadema
55.    Mhe. Hamad Rashid Mohammed- CUF
56.    Mhe. Rukia Kassim Ahmed (Cuf)
57.    Mhe. Mustapha Boay Akoonay (Chadema)
58.    Mhe. Abdalla Haji Ali (CUF)
59.    Mhe. Khatibu Said Ali (CUF)
60.    Mhe. Hamad Ali Hamad (CUF)
61.    Mhe. Riziki Omar Juma (CUF)
62.    Mhe  Haji Khatibu  Kai (CUF)
63.    Mhe. Anna Marystella John Malack -Chadema
64.    Mhe. Hamad Rashid Mohamed  (CUF)
65.    Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed (CUF)
66.    Mhe. Thuwayba Idrissa Muhamed (CUF)
67.    Mhe. Masoud Abdallah Salum (CUF)
68.    Mhe. Muhamad Ibrahim Sanya (CUF)
69.    Mhe. Ali Khamis Seif (CUF)
70.    Mhe. Haroub Muhammed Shamis (CUF)
71.    Mhe. Amina Amour Nassoro (CUF)

Ukitaka kuona picha za matukio tofauti ya zoezi la utiaji saini juzi, kong’oli hapa

Source: Zitto na Demokrasia

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO