Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

NEC YATUPA RUFAA YA CHADEMA – PINGAMIZI KWA SIOI

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetupilia mbali rufaa ya Chadema dhidi ya mgombea wa CCM katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki.
Joshua Nassari ambaye ni mgombea wa Chadema alikata rufaa NEC akitaka kutenguliwa kwa uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Arumeru Mashariki ambao ulitupilia mbali pingamizi lililokuwa likitaka mgombea wa CCM, Sioi Sumari aondolewe kwenye uchaguzi huo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius Mallaba alisema eneo la Usa River jana kuwa baada ya kupitia rufani ya Chadema, NEC imekubaliana na uamuzi uliotolewa awali na msimamizi wa uchaguzi.
“Msingi wa pingamizi hadi kukatwa kwa rufani ni suala la uraia wa mgombea wa CCM, na tume (NEC) imelifanyia kazi suala hili kwa kupitia sheria ya uraia namba 6 ya mwaka 1995 na kubaini kwamba Sioi Sumari ni raia wa Tanzania kwa kurithi,”alisema Mallaba na kuongeza:


Gonga hapa kusoma taarifa hii zaidi na Mwananchi Habari
Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO