Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Blogaz Safarini Iringa Kwa Wiki Ya Maji

1maBloga waki-show love kwa pozi ya picha ya pamoja

Kutoka kushoto ni Imani Lwinga Meneja wa Mawasiliani (SBL), Nandi Mwiyombela Meneja Mahusiano ya Umma (SBL), Ahmad Michuzi Mzee wa Jiachie, Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL), John Bukuku mzee wa Fullshangwe na Mroki Mroki Father Kidevu wakipiga picha ya pamoja wakati wa safari yao hii leo ya kuelekea Mkoani Iringa katika wiki ya maadhimisho ya Maji 2012 ambayo kitaifa inafanyikia mkoani Iringa na kudhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti ambayo wanafanyia kazi Teddy, Nandi na Imani huku Mroki, Bukuku na MichuziJr ni timu ya mapacha wa 3 kutoka Blogs ambao hufanya kazi za SBL. Picha hii ilipigwa Mikumi mkoani Morogoro

Picha na Maelezo (Kapingaz Blog)

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO