Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Siasa Chafu Zaanza Arumeru Mashariki

SIASA chafu za kupakana matope zimeanza kujitokeza katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ikiwa ni wiki moja tu tangu kuanza kwake.

Miongoni mwa malalamiko yanayotolewa ni kusambazwa kwa nyaraka za kashfa, wafuasi kufanya fujo katika mikutano ya vyama pinzani, watu kuzuiwa kushiriki kwenye mikutano ya kampeni, matumizi ya lugha chafu dhidi ya viongozi wakuu wa vyama pinzani kwenye majukwaa ya kampeni na kusambazwa kwa taarifa za uchochezi zinazowashawishi wananchi wasishiriki kampeni. Read more...

Published by Mwananchi Habari on 17th March, 2012

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO